Ruby Atoboa Siri Kumbe Kusah Kimoja tu Chali

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Hii inaitwa butter trade yani bidhaa kwa bidhaa,chuma kwa chuma, X kwa X ni baada ya mwanadada na msanii wa bongo flava @iamrubyafrica kuyaweka hadharani mahaba yake kwa dansa nguli wa Diamond Platnumz, @moseiyobo ambaye aliwahi kuwa kwenye mahusiano na muigizaji @auntyezekiel na sasa yupo penzini na @_kusah_ ambaye aliwahi kuwa penzini na Ruby.

Maneno ya Ruby yana utata mkubwa na inaaminikia yameelekezwa kwa aliyekuwa mpenzi wake na mzazi mwenzie, Kusah.

Tafsiri yake ni kuwa jamaa kimoko chalii maana ziara mbili tu alikuwa anaomba boosta😂😂

Sema heshimu sana anayekuhifadhia siri zako ,siku akiamua dondosha moja tu hoi😂

Usiache kufollow @sajomedia kwa taarifa zaidi za burudani.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad