Msanii Pandamonae wa Nigeria avutiwa na soko la muziki Afrika Mashariki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Pandamonae ni msanii wa Muziki kutoka nchini nigeria ambaye amekuwa akionyesha uwezo wake na ubunifu mkubwa kupitia Beat za wasanii mbali mbali Lakini licha ya hivyo Pandamonae Anatamani kuigusa Africa mashariki kwa uwezo wake kupitia aina mbali mbali ya muziki.

 

Moja ya wimbo wake ambao unafanya vizuri kwa sasa ni “LABALABA” ambao unapatikana katika platform mbali mbali za muziki ukiwa katika miondoko ya Afro beat.



Lakini kwa sasa Pandamonae ameamua kufanya ubunifu wake kupitia beat ya Wimbo wa Akon “don’t matter” kwa kuonyesha uwezo wake.

Tazama hapa na pia unaweza kumfatilia kupitia mitandao yake ya kijamii kwa jina la @pandamonae

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad