YANGA Wamefanya Uamuzi Mgumu Kumrejesha Cedrick Kaze

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


YANGA wamefanya uamuzi mgumu. Wameamua kumrejesha kwenye benchi la ufundi la klabu hiyo Kocha Mrundi, Cedrick Kaze

Habari za awali ambazo Mwanaspoti imejiridhisha nazo ni kwamba anakuja kuwa msaidizi wa Nasreddine Nabi ambaye awali alikuwa na mtihani wa kushinda mechi dhidi ya Rivers ugenini na ile ya Simba Jumamosi kulinda kibarua chake

Mbali na Kaze pia inatajwa Yanga wako kwenye mazungumzo na Mwinyi Zahera ambaye yeye anaweza kupewa pia nafasi hiyo au Ukurugenzi wa Ufundi aisuke Yangu Idara zote
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad