AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
YANGA wamefanya uamuzi mgumu. Wameamua kumrejesha kwenye benchi la ufundi la klabu hiyo Kocha Mrundi, Cedrick Kaze
Habari za awali ambazo Mwanaspoti imejiridhisha nazo ni kwamba anakuja kuwa msaidizi wa Nasreddine Nabi ambaye awali alikuwa na mtihani wa kushinda mechi dhidi ya Rivers ugenini na ile ya Simba Jumamosi kulinda kibarua chake
Mbali na Kaze pia inatajwa Yanga wako kwenye mazungumzo na Mwinyi Zahera ambaye yeye anaweza kupewa pia nafasi hiyo au Ukurugenzi wa Ufundi aisuke Yangu Idara zote
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK