CCM yataka 'oparesheni ondoa bodaboda' isitishwe

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




CCM yataka 'oparesheni ondoa bodaboda' isitishwe
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kauli ya marufuku ya waendesha bodaboda na bajaji kutofika mjini kwa jiji la Dar es Salaam, si kauli mwafaka na imetolewa bila taratibu za msingi.

Akizungumza na waandishi wa habari, Katibu wa Itikadi na Uenezi, Shaka Hamidu amesema kuwa maamuzi yatakayotolewa dhidi ya waandesha bodaboda yanapaswa kugusa maslahi ya umma.

“Chama kinaagiza oparesheni hiyo isitishwe mara moja.”amesema Shaka Hamidu.

Aidha Kamishna Msaidizi wa Polisi ambaye ni Mkuu wa Usalama Barabarani, Abdi Issango alisema Ifikapo Septemba 11, 2021 waendesha bodaboda na bajaji marufuku kuingia mjini isipokua bajaji za walemavu
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad