Hamisa Mobetto Atahadharishwa Ukaribu Wake na RICK Ross "Utaachiwa Watoto Ulee Mwenyewe"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




WIKI kadhaa baada ya rapa wa kiwango cha dunia, Rick Ross kukiri kwamba ana koneksheni na mwanamitindo Hamisa Mobeto wa Tanzania, ametapata majanga.

Kwa mujibu wa nyaraka za kisheria zilizovuja kwa wadaku nchini Marekani, Rick Ross anatakiwa kulipa Dola za Kimarekani elfu 11 (zaidi ya shilingi milioni 25 za Kitanzania) kwa mwezi kwa mwanamke aitwaye Briana Singleton kwa ajili ya matunzo ya watoto watatu aliowatelekeza.

Dokyumenti hizo zinamtaka Rick Ross, mbali na kiasi hicho cha pesa pia anatakiwa kulipa bima za afya na mambo mengine ambayo jumla yake ni shilingi milioni 15 kwa mwezi.

STORI ZAIDI za AINA HII Download Udaku Spesho App HAPA Iwe Kwenye Simu Yako


Baada ya kusambaa kwa taarifa hizo, baadhi ya mashabiki wamemtahadharisha Mobeto kuwa makini na jamaa huyo la sivyo naye ataachiwa watoto alee mwenyewe.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad