Kizza Besigye Afutiwa Mashtaka Uganda

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





SERIKALI ya Uganda imeifuta kesi ya uhaini dhidi ya kiongozi wa chama cha upinzani Kizza Besigye, ambaye alikuwa akipambana kumuondoa madarakani rais Yoweri Museveni ambaye ametawala kwa kipindi cha miaka 35.


Besigye, amegombea nafasi ya urais mara nne na alikamatwa na kushtakiwa kwa makosa ya uhaini mwaka 2016 kwa kujitangaza mwenyewe kuwa ni rais baada ya huo mwaka wa uchaguzi mkuu.


Kiongozi huyo wa upinzani aliwahi kuwa daktari wa kumtibu rais Museveni , Besigye alikosana na rais mwaka 1999 baada ya kukielezea chama tawala kuwa chama kisichoaminika,wanaoangalia fursa na wasioheshimu demokrasia.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad