AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Makocha zaidi ya 80 wa ndani na nje ya Afrika wameshawasilisha wasifu (CV) zao wakiomba kuifundisha klabu ya Simba baada ya kuachana na Kocha Didier Gomes Da Rosa.
Klabu ya Simba inamuhitaji kocha mwenye Leseni ya Daraja A ya CAF au UEFA A Pro ambayo Gomes hakuwa nayo hali iliyosababisha kutoruhusiwa kukaa kwenye benchi katika mechi za klabu bingwa.
Makocha wawili waliowahi kuifundisha Simba miaka iliyopita Milovan Cirkovic na Mcroatia Zdravko Logarusic ni miongoni mwa makocha hao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK