Makubwa..Superman Atakuwa Mpenzi wa Jinsia Moja Katika Katuni yake Mpya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


DC Comics imetangaza kuwa mhusika mpya wa Superman, Jon Kent, anahusika katika mapenzi ya jinsia moja.


Katika kitabu chake kijacho cha katuni , ambacho kinatarajiwa kuzinduliwa mwezi Novemba, Jon atapewa taswira ya kuwa mpenzi wa jinsia moja akiwa na rafiki yake Jay Nakamura.


DC Comics imetoa tangazo hilo katika siku ya kitaifa ya uhamasishaji juu ya uelewa kuhusu wapenzi wa jinsia moja nchini Marekani.


Watoto wanapenda kutazama vipindi vya katuni kutoka ughaibuni …

1.) Unalizungumziaje hili

2.) Utawaruhusu watoto wako kuitazama toleo hilo la Superman ?

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad