AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jeshi la Nigeria limethibitisha kumkamata mchezaji wa filamu wa N Nollywood Chiwetalu Agu.
Kulingana na taarifa kutoka makao makuu ya jeshi wamemkamata wakati walipokuwa wakifanya msako wa wafuasi wa genge linalounga mkono jamii ya wazawa ya Biafra wanaotaka kujitenga nchini humo (IPOB).
Taarifa hiyo imeeleza pia kwamba mchezji filamu huyo alichukuliwa alipokuwa amefaa nguo zinazotambulisha kikundi hicho kwa ajili ya kumuhoji na ingawa alionyesha pingamizi, jeshiu limefanya juhudi za kumuweka mahabusu , na linasema halikumyamyasa wala kumtesa.
Taarifa hikyo imeongeza kuwaingawa jeshi linatambua haki za raia wote za kutembea kwa uhuruna kujieleza kama haki yao ya kikatiba, halitakubali ukiukaji wa wa sheria wa mtu binafsi au kikundi kwa kuchochea umma kufanya ghasia au kuvunja sheria na utulivu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK