Rapper Future Ataka Kujiweka Kwa Mke wa Will Smith

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Wakiwa bado kwenye mzozo wa kimapenzi /Entanglement, #WillSmith na mke wake #JadaPinkett wamerudi kwenye headlines tena, wakati huu, ni kupitia insta story na tweet ya rapper #Future.

Hii ni kufuatia Jana shabiki mmoja kumuuliza Future ikiwa angependa kuwa na urafiki na Will Smith, ambapo rapper huyo bila kuchelewa kupitia insta story yake na twitter alijibu kuwa "afadhali kuwa rafiki wa Jada." (mke wa illsmith) huku ako mtag Jada.

Kulingana na ripoti za mitandao ya kijamii, MTO iligundua kuwa baada ya jibu hio Jada ilianza kumfollow Future jana, ambapo Watu walianza kuunganisha doti kuwa huenda wwili hawa wakawa katika hali ya kuanzisha mahusiano, jambo lililofanya kuamua kum Unfollow rapper huyo asubuhi ya leo.
Utakumbuka hivi karibuni mwimbaji #augustalsina pia amewahi kukiri kuwahi kuwa na mahusiano ya kimapenzibna mwanadada huyo ambae ni mama wa watoto wa 2 Jaden & Willow Simth.

✍🏾@keviiiy.iam


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad