Rayvanny Aache Ushamba, Hatakiwi Kumsomesha Paula

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rayvanny hajasoma Chuo na haelewi mazingira ya chuo, hata Kama ndio hivyo inabidi aelewe kwamba mchumba hasomeshwi. P funk mwenyewe hawezi kumsomesha Paula, kwasababu dogo anadharau. Hizo pesa atakazokuwa anatumiwa na Rayvanny, vibwana vya chuo vitazifaidi.

Kwanini amtolee ada harafu amsomeshe nje, alitakiwa kumsomesha hapa hapa, ada analipa na matumizi anampa pia, anakaa kwake, anatokea kwake, anampa Gari na anamcontrol, Sasa anaenda kumsomesha msichana long distance trade, ataangukia katika mikono ya mahandsome na watatumia pesa za rayvanny bure.

Kiukweli napata wasiwasi, hawa watu walikuwa hawapendani hata kidogo, kizembezembe tu eti umruhusu demu wako akasome nje.

AJIRA: Nafasi Mpya za Kazi Serikalini, NGOs na Makampuni Binafsi.....Bofya Hapa kutuma maombi

Ila ni faida pia, Hivi Sasa fahyma ataweza pata amani.

Ila Rayvanny akumbuke tu bongo vyuo vipo vingi, asingeruhusu Paula akasome nje watamtafuna.

By @Hopetygatz

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad