Stan Bakora na Zee Cuty Wavuana Nguo Hadharani, Waweka Wazi Uchafu wao wa Chumbani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Baada ya msanii wa Bongo Flava, mrembo @zee_cuty kuvujisha siri za Ex wake ambaye ni mchekeshaji @stanbakora_ ,Stan pia karudisha mapigo kidizaini flani hivi.

Akiwa kwenye maiki za Refresh ya Wasafi Tv, Zee Cuty alidai aliachana na Stan Bakora kutokana na tabia zake,kwanza jamaa alikuwa analala na track suit pamoja na soksi akiulizwa kwanini,bwana mdogo anajibu anajitunza. 2. Stan ni mkoromaji usiku,3. Stan anaota ndoto akicheka usiku mzima,4. kwenye tendo akiwa anashusha mzigo anajimung'unya kama kameza ugali wa moto lakini pia ni mpenda majimama kila akimfumania anamfumania na majimama.

Kwa upande wa Stan Bakora akiwa kwenye kipindi cha Lavi Davi, Wasafi Fm amedai haoni kama kuna sababu za mtu kuzungumzia madhaifu ya Ex wake maana kuachana si uadui,vipi akisema Zee Cuty alikuwa analia kama mwewe kwenye tendo (kwa mfano😁). Kuhusu muda waliokaa kwenye mahusiano Stan amedai hawakudumu muda mrefu.

Huku akicheka, Stan amedai “uhusiano halijadumu lile,lilikuwa lina makolokolo mengi, uhusiano lilikuwa lina taharuki lile kwanza alikuwa ananielemea kiuchumi” 😁🙌

Sema kuvujisha siri za Ex wako sio mchongo kabisa.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad