AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo Flava, Mtangazaji na Chawa Pro max Official Babalevo ametoa mtazamo wake juu ya albamu mbili kati ya High School ya Harmonize na ONLY ONE KING ya Alikiba.
Baba Levo amedai albamu ya Alikiba ni albamu bora sana sema kinachomkwamisha Alikiba ni kushindwa kuipromote iendane na ukubwa alionao, kama ilivyo kwa Harmonize hajawahi mpa sifa nzuri, Baba Levo amedai albamu hiyo ni mbovu na anaipa asilimia 14% kwenye 100% huku Only One King akiipa 90%.
Read More:Hatimaye Christina Shusho Afunguka Kuhusu VIDEO Inayoonyesha Akinywa Pombe na Wenzake
Baba Levo amedai cha kumshauri Harmonize atoe albamu nyingine tu maana hiyo kakurupuka.
Kwa mtazamo wangu naona Albamu zote zina unyama mwingi tu. Kwako vipi?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK