Harmonize: Mashabiki zangu msipoteze mabando yenu, sijachaguliwa kwenye tuzo zozote

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




#Harmonize aonyesha kutokubaliana na utezi wake wa kuwa mmoja ya wasanii wanaowania tuzo mbalimbali nje ya nchi. Ikumbukwe @harmonize_tz ametajwa kwenye tuzo kadhaa kama #AEAUSA#AFRMA.

Lakini alichomaanisha amewaonya mashabiki wake kuwa wasijisumbue kuweka bando lao na kuliharibu kwani hajatajwa kwenye tuzo yoyote. Hicho ndicho alichoandika kupitia Insta stori yake.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad