AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
#Harmonize aonyesha kutokubaliana na utezi wake wa kuwa mmoja ya wasanii wanaowania tuzo mbalimbali nje ya nchi. Ikumbukwe @harmonize_tz ametajwa kwenye tuzo kadhaa kama #AEAUSA#AFRMA.
Lakini alichomaanisha amewaonya mashabiki wake kuwa wasijisumbue kuweka bando lao na kuliharibu kwani hajatajwa kwenye tuzo yoyote. Hicho ndicho alichoandika kupitia Insta stori yake.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK