Harmonize "Diamond Platnumz Alisema Simuwezi Kihela, Serikali na Kiuchawi"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




MWANAMUZIKI Harmonize, jana Alhamisi, Novemba 18, 2021 amerejea nchini akitokea Marekani alipokwenda kufanya shoo zake baada ya kutua nchini ameongea na wanahabari katika Uwanja wa Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere na kueleza sababu zilizosababisha yeye kuondoka katika Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB) iliyo chini ya Diamond Platnumz.

“Nilimfuata Diamond nikamwambia tatizo ni nini mimi na wewe tunagombana? Akasema hivi: ‘Mimi nikimpa mtu heshima yangu, kama hatanirudishia naichukua kinguvu, unataka kushindana na mimi huniwezi kihela, huniwezi kiserikali, huniwezi kichawi nipe mkono tushindane’.

“Nikabaki nimezubaa, akaingia kwenye gari akaondoka. Siku iliyofuata nikaenda ofisini kwake kumuona.”

“Wakati Wasafi inaanzishwa mimi na yeye ndiyo tulikuwa tunapambania Wasafi, nilikuwa kimbelembele kusimamia vitu vingi, hata baadhi ya vifaa nilitoa mimi baada ya vya kwake kuchelewa.

HABARI KAMA  HIZI UNAZIPATA KUTOKA APP YA UDAKU SPECIAL PEKEE  DOWNLOAD  HAPA UWE NAYO KWENYE SIMU YAKO

“Kamati ilikuwa mimi yeye, Mustapha na mama Dangote, wakati huo hakukuwa na Babu Tale wala Sallam, wao walikuwa bize na Dizzim, kwa walikuwa hawaamini kwenye Wasafi Media.” amesema Harmonize.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad