Huyu Hapa Mrembo Aliyeshikilia Roho ya Rapper Kanye West Kwa Sasa..Kim Kardashian Tupa Kule

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rapper Kanye West ‘YE’ (42), anatajwa kuwa kwenye mahusiano na mwanamitindo Vinetria (22).

Vyanzo vya karibu na watu hao vimeuambia mtandao wa Page Six kuwa, Kanye amekuwa katika mahusianio ya siri na mrembo Vinetria kwa muda sasa. Pia inaelezwa mrembo huyo alikuwa na Kanye West mjini Miami wakati anafanya mahojiano na DRINK CHAMPS.

Sambamba na hilo, Vinetria anatajwa pia kuonekana katika huduma ya Jumapili (Sunday Service) ya rapper Kanye West mwishoni mwa wiki iliyopita.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad