Mashabiki wa Wizkid Wavunja Geti O2 Arena na Kuingia Ndani ya Onyesho Lake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 Mashabiki wa Muimbaji wa Nigeria Wizkid wameingia kwa nguvu katika uwanja wa O2 Arena Jumapili usiku, na kutazama onyesho lake.

Video iliyotumwa kwenye mitandao ya kijamii ilionyesha msururu wa watu wakivuka uzio wa usalama na kuingia kwa nguvu ndani ya tamasha lake la muziki

Wizkid ambaye alishiriki katika densi ya Drake iliyovuma na kuwa namba moja -One Dance, anacheza kwa siku tatu mjini London.

Msemaji wa O2 Arena alisema "kuvunja uzio wa usalama katika lango la arena kulitokea" na "mashabiki wengi waliokuwa kwenye msururu wa kuingia uwanjani waliweza kuingia ndani".

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad