Muonekano mpya wa Soko Kuu la Kariakoo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Picha za litakavyokua Soko jipya la Kariakoo baada ya ujenzi wake kukamilika zimeachiwa ikiwa gharama ya ujenzi wote itakua TZS bilioni 32.2

Katika gharama hizo ukarabati wa soko la zamani ni TZS bilioni 6 na ujenzi wa soko jipya ni TZS bilioni 26.2.


Muonekano mpya wa Soko la Kariakoo
Soko litahudumia wafanyabiashara zaidi ya 2300 na litarahisisha ufanyaji biashara na kuboresha mandhari ya jiji.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad