Kajala "Mapenzi Hayaumizi Bali Kumpenda Mtu Asiye Sahihi Kunaumiza"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



 

Baada ya kudai kua hajawahi kuwa na EX' bali amewahi kuwa na mfano wa kitu gani asikifanye tena, nyingine kutoka kwa aliyekua mpenzi wa mwanamuziki 'Harmonize @kajalafrida kupitia insta story yake ameandika kuwa;
“mapenzi hayaumizi bali kumpenda mtu asiye sahihi kunaumiza”.

Mfululizo wa post hizi unahusishwa na kile ambacho mwanamuziki #harmonize amekitangaza, kuingia kwenye penzi jipya na mrembo kizungu kutoka Australia @briana__tz .

✍🏾@keviiiy.iam
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad