AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya kudai kua hajawahi kuwa na EX' bali amewahi kuwa na mfano wa kitu gani asikifanye tena, nyingine kutoka kwa aliyekua mpenzi wa mwanamuziki 'Harmonize @kajalafrida kupitia insta story yake ameandika kuwa;
“mapenzi hayaumizi bali kumpenda mtu asiye sahihi kunaumiza”.
Mfululizo wa post hizi unahusishwa na kile ambacho mwanamuziki #harmonize amekitangaza, kuingia kwenye penzi jipya na mrembo kizungu kutoka Australia @briana__tz .
✍🏾@keviiiy.iam
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK