AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Azam FC wamemtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji mpya wa timu hiyo ikiwa ni muda mfupi baada ya Simba kutangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo.
Kupitia ukurasa wao rasmi wa klabu, Azam FC wameandika:
"#NewArrival...Tumeingia mkataba wa mwaka mmoja na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu 'Cadabra'.
"Karibu Azam FC, fundi wa mpira! Ibrahim Ajibu"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK