Breaking News: Mchezaji Ibrahim AJIBU Anyakuliwa na Azam FC Mara tu Baada ya Simba Kutangaza Kumuacha

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Azam FC wamemtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji mpya wa timu hiyo ikiwa ni muda mfupi baada ya Simba kutangaza kuvunja mkataba wa mchezaji huyo.

Kupitia ukurasa wao rasmi wa klabu, Azam FC wameandika:

"#NewArrival...Tumeingia mkataba wa mwaka mmoja na kiungo mshambuliaji, Ibrahim Ajibu 'Cadabra'.

"Karibu Azam FC, fundi wa mpira! Ibrahim Ajibu"

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad