AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
BERNARD Morrison, kiungo mshambuliaji wa Simba ya Tanzania, amejinyakulia tuzo na Sh.2 milioni, baada ya kuchaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mashabiki wa mwezi Novemba (Emirate Aluminium ACP Simba Fans Player of the Month). Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).
Morrison ambaye ni raia wa Ghana amewashinda wachezaji wenzake, mshambuliaji Medie Kagere na kiungo Jonas Mkude ambao aliingia nao fainali.
Morrison amepata kura 2117 sawa na asilimia 46.77, Kagere kura 2117 sawa na asilimia 46.73 na Mkude akipata kura 294 sawa na asilimia 6.50.
Katika mwezi Novemba, Morrison amecheza jumla ya dakika ya 235 akifunga mabao mawili na kusaidia kupatikana kwa mengine mawili.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK