AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa TAMISEMI, Mhe. Ummy Mwalimu amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tabora kumshusha cheo cha Ukuu wa shule, Mwl. Nicolous Magwendela aliyekuwa Mkuu wa Shule ya Sekondari Makazi iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Uyui mkoani Tabora.
.
Waziri Ummy ametoa agizo hilo wakati wa ziara yake wilayani humo ambapo alipokea malalamiko mbalimbali kutoka kwa viongozi wa wilaya hiyo kuhusiana na mwalimu huyo na kuelekeza ufuatiliaji wa haraka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK