AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yanga kupumzisha nyota kadhaa
KOCHA Mkuu wa Yanga Nasriddine Nabi amesema atawapumzisha baadhi ya wachezaji katika mchezo wao wa leo wa kombe la FA dhidi ya Ihefu.
Akizungumza na Spotileo Nabi amesema sababu ya kufanya hivyo ni kutaka kuwapa mapumziko baadhi ya nyota wake ambao wanatumika mara kwa mara kwenye mechi za ligi.
"Tuna wachezaji wengi ambao hawajacheza kwa muda mrefu nadhani hao ndio itakuwa mechi yao siyo kwamba tunadharau lakini ni moja ya mikakati tumejiwekea kutokana na wingi wa mechi ," amesema Nabi.
Kipa Djigui Diarra na baadhi ya wachezaji wa ndani akiwemo Yannic Bangala, Fiston Mayele na Feisal Salum ni miongoni mwa wachezaji ambao huenda wakapumzishwa na kutoa nafasi kwa nyota wengine akiwemo Mukoko Tonombe kuanza kwenye eneo la kiungo mkabaji.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK