AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya ndege ya Marekani -American Airlines iliyokuwa ikisafiri kutoka Miami kuelekea London Uingereza imelazimika kurudi ilikotoka kwasababu mmoja wa wasafiri wake alikataa kuvaa barakoa, imesema ndege hiyo.
American Airlines Flight to London Turns Back After Woman Refuses to Wear Mask
Ndege ya American Airlines chapa AAL38 yenye wasafiri 129 ndani yake ilirejea Miami ambako ilikutana na polisi, ilisema.
Polisi walimsindikiza mwanamke mwenye miaka 40 na ushee kumuondoa ndani ya ndege hiyo, taarifa zinasema.
Mwanamke huyo amewekwa kwenye orodha ya watu wanaozuiwa kusafiri kwa ndege ya American Airlines, hadi uchunguzi wa kisa hicho utakapokamilika, imesema kampuni hiyo ya ndege.
Ndege hiyo ililazimika kukatiza safari yake na kurejea Miami Jumatano baada ya kusafiri kwa muda wa chini ya saa moja, kulingana na rekodi ya taarifa za safari ya kampuni hiyo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK