AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kocha wa Simba SC, Pablo Franco Martin amefungiwa mechi tatu na Bodi ya Ligi na kutozwa faini ya Tsh. 500,000 kwa kosa la kupiga teke chombo cha kuhifadhia vinywaji baridi katika mchezo kati ya Mtibwa Sugar na Simba ambao ulimalizika kwa sare ya bila kufungana.
-
Pia kocha Pablo ametozwa faini ya Tsh. 2,000,000 kwa kosa la kukataa kuzungumza na wanahabari baada ya mchezo kati ya Mbeya City na Simba SC ambao Simba ilifungwa 1-0 na mchezo kati ya Kagera Sugar na Simba ambao Simba ilifungwa 1-0.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK