Mwanamuziki Defao Azikwa Kitaifa DRC, Hakuacha Mtoto, Wenzake Wavaa Mavazi ya Gharama Kumuenzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanamuziki wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo François Lulendo Matumona, maarufu General Defao amezikwa Jumamosi hii katika mazishi ya kitaifa.

Defao alifariki mwezi Desemba mwaka jana katika hospitali Laquintinie huko Douala, Cameroon, ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

Ndugu na jamaa zake wanasema mwanamuziki huyu hakuacha mtoto.

Wanamuziki wenzake na mashabiki wake waliohudhuri mazishi hayo wakiwa wamevalia mavazi za bei ghali wakidai pia Defao alikuwa mmoja wao, na wanafanya maonesho ya mavazi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad