AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa mkoa wa Mara Ally Hapi amewataka wananchi kupuuza taarifa za upotoshaji zinazosambazwa na baadhi ya watu kuwa serikali imerejesha Ada Mashuleni na kuonya kuwa watu hao wanapaswa kuchukuliwa hatua kali kwa kusambaza uzushi huo.
RC Hapi ametoa kauli hiyo wakati akikabidhiwa madarasa 113 yanayotokana na fedha za maendeleo na Uviko-19 ambapo wilaya ya Rorya ilipokea kiasi cha shilingi Bilioni 2.3.
Mkuu wa Mkoa wa Mara Ally Salum Hapi amekabidhiwa vyumba vya Madarasa 113, Sekondary 98 na Shikizi 15 vilivyoambatana na ofisi 44 ambazo Wilaya imejenga
Katika ziara yake hiyo Hapi amewataka wazazi kuandikisha watoto kuandikisha watoto wao shule na kupuuza taarifa zinazosambazwa mtaani kuwa serikali imerejesha ada mashuleni.
Naye mMkuu wa Wilaya ya Rorya Juma chikoka amesema fedha hizo zilizotolewa na Rais Samia Suluhu Hassani amesema wanafunzi Elfu saba 219 waliandikishwa katika wilaya ya Rorya watasoma bila kikwazo chochote.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK