AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Spika wa Bunge, Job Ndugai anatarajiwa kuzungumza na waandishi wa leo saa tano asubuhi Januari 3, 2022.
Spika huyo wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anatarajiwa kuzungumza kwenye Ukumbi wa Ofisi ya Spika, Bungeni Dodoma.
Bado haijawekwa wazi Ndugai anaenda kuzungumza kuhusu mada ipi kwa kuwa jina lake limekuwa gumzo siku za hivi karibuni hasa kutokana na kauli yake kuhusu mikopo ya nchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK