Sultan Aliyepinduliwa Zanzibar BADO Yupo, Anaishi Oman

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Sultan wa mwisho wa Zanzibar yaani Jamshid bin Abdullah aliyepinduliwa tarehe kama ya leo Januari 12, 1964, alikimbilia Uingereza akiwa na watu 61.

Serikali ya Uingereza ikampa nyumba huko Portsmouth na kiasi cha Fedha £100,000,pia kila mwezi akawa anapewa £1500.


Sasa ana umri wa miaka 92 na kwasasa anaishi Oman., Na leo kupitia vyombo vya habari ameshuhudia Wazanzibar wakiendelea kuyaenzi Mapinduzi hayo yaliyomtoa madarakani miaka 58 iliyopita.

TANGAZA BIASHARA YAKO NA SWAHILIFORUMS: TUCHEKI WHATSAPP 0712 058 619 AU 0766 081 920.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad