United Wakifeli TOP 4, Ronaldo Anaondoka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Inadaiwa kuwa wawakilishi wa Cristiano Ronaldo wamesema kuwa staa huyo Mreno ataondoka Manchester United mwishoni mwa msimu huu kama watashindwa kufuzu kucheza Champions League msimu ujao.

Timu ambazo zinakuwa na uhakika wa kushiriki Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa England ni zile ambazo zinashika nafasi ya nne katika msimamo wa Premier League, labda kama watabeba ubingwa wa Champions League kisha wakashindwa kuingia katika nafasi nne za juu kwenye ligi.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad