Akina Halima Wakifukuzwa Uanachama Ubunge wao Utakoma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Spika wa Bunge Dkt. Tulia Ackson, amesema kuwa Bunge likipewa taarifa rasmi kuwa wabunge 19 wa CHADEMA akiwemo Halima Mdee na wenzake wamefukuzwa uanachama na chama chao basi ndipo wabunge hao watakoma kuwa wabunge wa Bunge hilo.
Kauli hiyo ameitoa hii leo baada ya kukutana na wahariri na waandishi wa habari Jijini Dodoma na kusisitiza kwamba wabunge hao 19 wa viti maalum kutoka CHADEMA ni halali na si haramu kwani wasingekuwepo bungeni kama ni haramu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad