AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
🍁Moja ya vitu aliongea ni mkataba ulikuwa ukimruhusu kutoa nyimbo mbili tu kwa mwaka lakini pia mapato yaliyokusanywa kupitia muziki wake alikuwa anachukua (40%)
🍁Sasa Baada country boy kutoka KONDEGANG amefanya interview na @millardayo na kufunguka mambo yale yale ambayo harmonize aliongea akiwa pale Airport kuhusiana na mfumo wa kutoa ngoma (idadi) na (malipo)
🍁Country boy amesema alikuwa akiruhusiwa kutoa ngoma mbili tu kwa mwaka pia baada ya makusanyo ya mapato kutokana na kazi yake ya mziki yeye alipata (45%)
🍁Najiuliza kulikuwa na haja gani kwa Harmonize kuongea yote yale wakati pia mikataba ya KONDEGANG haitofautiani sana na WCB?
🍁Isitoshe country boy hakuwa anapewa promotion kubwa hivyo kusababisha upatikanaji wa pesa ndogo na bado anachukua (40%) tu. Monthly listeners wa country boy kwa upande wa spotify ilikuwa ni 2500 ikizidi ni kidogo tu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK