AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kutoka Insta story ya CEO wa record label ya KondeGang @harmonize_tz ametangaza rasmi ujio wa remix ya wimbo wa dini /gospel kutoka kwa mwanamuziki wa nyimbo za injili Jane Misso 'Omoyo'
KondeBoy amethibitisha hilo muda mchache baada ya kumvaa mwimbaji wa nyimbo za injili Goodluck Gozbert kwa tafsiri ya kutomzungumzia vizuri juu ya matamanio yake ya kufanya muziki huo wa injili.
Mbali na hayo @harmonize_tz ambae ni muumini wa dini ya kiislam ameeleza kuwa yeye ni bado ni muumini wa dini ya kiislamu na ataendelea kuwa na upendo kwa watu wa dini zote bila kujali utofauti wa imani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK