Hatma ya Usalama wa Watanzania Ukraine Kujulikana Leo Feb 25

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Ubalozi wa Tanzania, Stockholm umetoa ushauri kwa Watanzania waishio Ukraine kuwa kama wanadhani kukaa kwao Ukraine siyo muhimu kwa sasa, waondoke nchini humo kutokana na kuwepo kwa hali tete ya kiusalama na kusasabisha mashaka juu ya usalama wao.


Pia umewataka wazazi wenye watoto wanaosoma nchini humo kufanya taratibu binafsi za kuwarudisha watoto wao nyumbani kwa kutumia ndege binafsi zinazofanya safari kutokea Ukraine.


Dar24 Media imezungumza na Mkurugenzi wa Habari wa Wizara ya Mambo ya Nje, Emmanuel Buhohela, amesema kuwa Wizara imemuagiza Balozi wa Sweeden kufuatilia usalama wa watanzania wote wanaoishi Ukraine.


Hata hivyo Buhohela amesema kuwa taarifa kamili kuhusu usalama na namna ya kuwanusuru watanzania wa Ukraine itatolewa kesho Februari 25.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad