Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Soko la Mbagala Kuungua Moto

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo @jokatemwegelo amesema tayari wameunda Kamati ya kuchunguza chanzo cha kuungua kwa Soko la Mbagala rangi tatu usiku wa kuamkia leo February 13,2022.

"Tumeunda Kamati ya kuchunguza chanzo cha moto na tumeipa siku tatu hadi nne, kikubwa tumetoa maelekezo kwa Manispaa Kamati ya uchunguzi ikimalizika kazi Wafanyabiashara waruhusiwe kurudi Sokoni kufanya biashara huku ikiwekwa mipango ya kukarabati na kuboresha Soko hilo"
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad