AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo @jokatemwegelo amesema tayari wameunda Kamati ya kuchunguza chanzo cha kuungua kwa Soko la Mbagala rangi tatu usiku wa kuamkia leo February 13,2022.
"Tumeunda Kamati ya kuchunguza chanzo cha moto na tumeipa siku tatu hadi nne, kikubwa tumetoa maelekezo kwa Manispaa Kamati ya uchunguzi ikimalizika kazi Wafanyabiashara waruhusiwe kurudi Sokoni kufanya biashara huku ikiwekwa mipango ya kukarabati na kuboresha Soko hilo"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK