AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais Samia Suluhu Hassan amezungumzia mauaji yaliyotokea Mtwara ambapo Maafisa wa Jeshi la Polisi wanatuhumiwa kuhusika na mauaji ya Mfanyabiashara Mussa Hamisi
Rais amesema haiwezekani Jeshi kutuhumiwa kisha liunde Kamati ya kujichunguza lenyewe, hivyo amesema ameagiza Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kuunda Kamati nyingine kuchunguza tukio hilo
Amesema taarifa ya Kamati ya Polisi inayochunguza tukio hilo italinganishwa na taarifa ya Kamati Huru itakayoundwa na Waziri Mkuu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK