AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii wa Bongo fleva @diamondplatnumz kwa mara ya kwanza amejibu swali kuhusiana na @rayvanny kulipishwa gari.
Amejibu diamond "maneno ya uzushi na hayana ukweli ndani yake #Rayvanny Bado mwana familia hawezi kufanyiwa kitu kama hicho"
Diamond ameyasema hayo kwenye mahojiano yake na wasafifm.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK