AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji wa Wasafi FM, Diva na aaÀ, Abdulrazak wameendelea kuwa topiki ambapo mwanadada huyo ameshindwa kuvumilia na kuvunja ukimya akitaka aachwe na mumewe.
Diva amesema; “Mkimaliza Kuniongelea kwenye hizo interview zenu looking for cheap publicity endeleeni na mambo yenu na mniache na mume wangu! Case closed…”
Kauli ya Diva inakuwa baada ya Mtangazaji wa Clouds FM na mwanamitandao almaarufu DC wa Insta, Mwijaku kudai kuwa ana shaka na uwepo wa ndoa hiyo.
Februari 14 (Valentine’s Day), mwaka huu, Diva alidai kufunga ndoa na jamaa huyo kwa mahari ya maua mengi, badala ya shilingi milioni 500 alizotangaza awali.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK