Shirikisho la soka barani Afrika CAF imeipiga faini ya $ 108,000 klabu ya RS Berkane Kisa Simba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Shirikisho la soka barani Afrika CAF imeipiga faini ya $ 108,000 klabu ya RS Berkane ya Morocco kwa matukio mawili tofauti ya kinidhamu kwenye michezo ya hatua ya makundi kombe la shirikisho barani Afrika.

1. Klabu imetozwa faini ya $ 8000 kwa kosa la mashabiki wa klabu hiyo kutupa vitu visivyotakiwa uwanjani wakati mchezo ukiendelea katika mchezo uliopigwa februari 27,2022.

2. Klabu imetozwa faini ya $ 100,000 kwa kosa la mmoja wa viongozi wake ( Majid Madrane ) kuvamia eneo la kuchezea wakati mchezo ukiendelea kwa madai ya kupinga maamuzi ya Refa.

Pia anashutumiwa kuhamasisha wachezaji wake kumvamia Refa kupinga maamuzi kwenye mchezo huo jambo ambalo lilipelekea mchezo kusimama kwa dakika tano kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es salaam Simba akiibuka na ushindi wa bao 1-0.

Hivyo Majid Madrane amefungiwa kutojihusisha na soka kwa muda wa miezi 12.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad