AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Nilikuwa nafanya kazi ya kuisemea Ruvu Shooting Kwa kujitolea, nilikuwa silipwi hata senti, wakati fulani Timu inasafiri kwenda mkoani mimi nasafiri nayo kwa gharama zangu Kwa yale mapenzi kwamba naguswa na naipenda Timu.
“Ikafika wakati Mwenyekiti wa Timu na Mkuu wa Kikosi Cha 832 Ruvu JKT, Alikuwa Charles Mbuge, Meja Jenerali, ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera akaniita akaniambia haiwezekani tusikupe chochote “Hebu Tuambie tukulipe kiasi gani ?” Nikawaambia sielewi ofisi yako na wewe mwenyewe mnauwezo kiasi gani na mnaweza kunilipa kwa Namna Gani, kwa hiyo Mimi nawaachieni kile mnachoweza mtakachoona kinafaa basi mimi nitashukuru Mungu.
“Siku hiyo hiyo baadaye ilikuwa ni siku za mwanzo wa Mwezi nikapigwa mshiko, kwa hiyo kuanzia hapo mpaka sasa nikawa kwenye mfumo wa malipo,” @masaubwire
#WasafiSports
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK