AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Star Wa Manchester United Kutoka Portugal Cristiano Ronaldo anamlipa partner wake “Georgina Rodriguez” Mshahara Pesa sawa na TShs Milioni 251.
Na kiwango hicho cha Pesa bi dada ruksa kuitumia kwenye majukumu yake mbalimbali haina Masharti 😜
Wawili hao wameanza KwichyKwichy Mwaka 2017, kibongo bongo Hapo kati Yamezaliwa na Kuvunjika Mahusiano mengi mnooo Kama ya Jux na Vanesa, Wema Na Idriss, Gigy na Moj, Bigi na Hamisa Mobetto, Harmonize na Kajala e.c.t imagine
Super Star Huyu wa Manchester United analipwa kila wiki Zaidi Ya 1.5 Billion na Kumfanya Kuwa Football Player anaelipwa Mkwanja Mrefu zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK