Hewa ya Sumu yaua 13, Zaidi ya 250 Wajeruhiwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 

Mlipuko wa mtungi wa hewa ya sumu aina ya Chlorine uliotokea katika bandari ya Aqaba nchini Jordan, umesababisha vifo vya watu 13 na wengine zaidi ya 250 kujeruhiwa.

Mlipuko huo, umetokea baada ya mtungi wa hewa ya sumu uliokuwa na uzito wa tani 25 kudondoka na kulipuka, wakati ukipakiwa katika roli kutoka kwenye meli iliyokuwa imebeba shehena ya mizigo.

Katika taarifa yake, Serikali ya Jordan imeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea.


Waziri Mkuu wa Jordan, Bisher Al- Khasawneh ametembelea eneo ulipotokea mlipuko huo, kwa lengo la kujionea madhara yaliyotokea.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad