AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
RAIS wa Shirikisho la Soka Afrika CAF na mmiliki wa klabu ya Mamelodi Sundowns Patrice Motsepe, amesema yuko tayari kumlipa mshahara kocha Pitso Mosimane ikiwa ataifundisha timu ya taifa ya Afrika Kusini ‘Bafana Bafana’
Pitso Mosimane hivi karibuni ameacha kazi kwenye klabu ya Al Ahly, baada ya kudumu kwa muda wa miaka miwili na kufanikiwa kushinda makombe mawili ya klabu bingwa barani Afrika, ligi kuu ya Misri na kombe la Super Cup Afrika, huku akiacha historia ya kucheza fainali tatu za ligi ya mabinga Afrika.
Akiwa kwenye kongamano la SAEditorsForum nchini Afrika Kusini alielezea hisia zake kwa kocha anayempenda na kunukuliwa, “Bila shaka kocha ninayempenda ni Pitso, nampenda sana Pitso na nitampenda daima, anasehemu maalum kwenye moyo wangu
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK