Rayvanny "Scene ya Kichoma Gari Kwenye Video Imeniumiza Sana"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Mwanamuziki @rayvanny amekiri kuwa katika video ya #Tequiro ambayo ameiachia siku ya leo hakuna scene ambayo imemuumiza kama ile ya kuchoma gari.

Katika wimbo huo ambao amemshirikisha msanii @marioo_tz kuna scene ambayo imeonekana gari aina ya Altezza nyeupe ikiteketea kwa moto katika dakika ya 1:46.




“Najua kweli ni uhalisia lakini yani hakuna scene imeniumiza moyo kama ya kuchoma gari 😭
Director @erismzava naomba tuishie hapa kuchoma vitu” Rayvanny.

Hii ni mara ya pili kwa msanii huyo kuonekana akiteketeza vitu mbalimbali katika video zake ili kutafuta ubora.

Je, tayari umetazama video hio?

Na @blessed_tillah

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad