Vifo 21 Afrika ya Kusini, familia zafanya maombi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

 


Wanafamilia wa Vijana 21 waliofariki katika mazingira ya kutatanisha katika baa moja huko London mashariki nchini Afrika Kusini, wamekusanyika kwa pamoja kwa kuwahusisha Viongozi wa jumuiya kufanya ibada ya maombi.


Hatua hiyo, inafuatia kutokana na msiba huo ulioacha maswali, baada ya Vijana hao wengi wakiwa wa umri kati ya miaka 13 hadi 18, kukutwa wamekufa ndani ya baa moja maarufu katika jiji hilo la kusini mwa London Mashariki.


Chanzo kamili cha vifo hicho bado hakijathibitishwa, lakini baadhi ya mashuhuda wamesema kulitokea harufu kali iliyosababisha kukosekana kwa hewa safi iliyoenea katika jengo hilo usiku wa mkasa huo.


Baadhi ya waathiriwa wa tukio hilo waliolazwa hospitalini, wamesema bado wana maumivu ya mgongo, kutapika na vifua kubana, huku Polisi ikisema bado inaendelea na uchunguzi katika kitongojini hicho kwa ajili ya kupata ushahidi kamili.


Wanafunzi hao, walifariki wakiwa katika sherehe ya kumaliza Mitihani yao, ambapo baadhi walifia hospitalini baadaye, huku wakiwa hawana dalili zozote za kuumia.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad