AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Watu wapatao 46, wamekutwa wamefariki wakiwa kwenye lori liliotelekezwa katika mitaa San Antonio, Texas.
Afisa mmoja wa zimamoto amesema watu 16, wakiwemo watoto wanne, pia wamepelekwa hospitali kwa matibabu zaidi.
San Antonio ambayo ipo kilometa 250, kutoka mpaka wa Marekani na Mexico, ambayo ni njia kuu ya kusafirishia watu.
Wasafirishaji haramu wa binadamu mara nyingi hutumia lori, kuwasafirisha wahamiaji wasio na vibali baada ya kukutana nao kutoka maeneo mbali mbali, mara baada ya kufanikiwa kuvuka na kuingia Marekani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK