Wahamiaji 46 Wapoteza Maisha Kwenye Lori Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Watu wapatao 46, wamekutwa wamefariki wakiwa kwenye lori liliotelekezwa katika mitaa San Antonio, Texas.

Afisa mmoja wa zimamoto amesema watu 16, wakiwemo watoto wanne, pia wamepelekwa hospitali kwa matibabu zaidi.

San Antonio ambayo ipo kilometa 250, kutoka mpaka wa Marekani na Mexico, ambayo ni njia kuu ya kusafirishia watu.

Wasafirishaji haramu wa binadamu mara nyingi hutumia lori, kuwasafirisha wahamiaji wasio na vibali baada ya kukutana nao kutoka maeneo mbali mbali, mara baada ya kufanikiwa kuvuka na kuingia Marekani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad