Kajala wa Harmonize Aanza Kazi Rasmi Konde Gang..Ukimtaka Harmonize Sharti Upitie Kwake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Supastaa @kajalafrida ambaye ni meneja wa mwanamuziki @harmonize_tz ametangaza rasmi ratiba ya shows za mkali huyo mwezi huu wa Julai.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Kajala amebainisha kuwa usiku wa leo, Harmonize atakuwa na show huko Doha nchini Qatar huku zingine zitakazo kamilisha mwezi huu ni pamoja na ya Dubai, Julai 16 na ya Mtwara, Julai 23.

"More Booking Contact me Let’s Go" - aliongeza Kajala ambaye kasafiri na Harmonize, kwenye maelezo yake.

Ikumbukwe, Kajala alitambulishwa rasmi kuwa mkurugenzi na meneja wa msanii Harmonize, Juni 6, mwaka huu. Na taarifa hiyo iliyotolewa na Choppa ambaye pia ni mmoja wa mameneja wa Harmonize.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad