Paula Masaja Atanua na Gari la Mama yake Aliyonunua Harmonize

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


PAULA Kajala au Pau; ni mrembo maarufu kwenye mitandao ya kijamii (sosholaiti) nchini Tanzania ambaye wikiendi iliyopita, Julai 15 ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake (birthday) ambapo siku hiyo ilipambwa na matukio mengi.

Ukiacha tukio la kuweka bango kubwa la birthday yake, pia Paula alionekana akitumia gari aina ya Range Rover la rangi nyeupe ambalo mama yake, Kajala Masanja amenunuliwa na mchumba’ke, Harmonize.

Kwa mujibu wa walimwengu, Paula anamchukia baba wa kambo, Harmonize baada ya kudai baba yake ni Majani pekee ila anatembelea Range Rover aliyonunuliwa mama’ke na baba huyohuyo wa kambo.

Mbali na hilo, pia watu wa karibu wanasema shughuli zote ikiwemo pati ya tukio hilo imegharamiwa na Harmonize.

Kitaalam walimwengu wanasema hiyo ni sawa na kusema; kitimoto sili ila mchuzi wake nakunywa…”
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad