Rwegasira ‘Apeta’ Unaibu Meya Kinondoni

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, wamemchagua Joseph Rwegasira (Diwani wa Kata ya Makongo), kuwa Naibu Meya Mteule wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni.



Rwegasira, anachukua nafasi iliyokuwa kishikiliwa na Heri Misinga ambaye muda wake utamalizika mwishoni mwa mwezi huu wa Julai, 2022.


Akiongea mara baada ya uchaguzi huo, Rwegasira amesema, “Ninawashukuru sana waheshimiwa madiwani kwa kuonyesha imani kubwa kwangu, naomba niwahakikishie kwa kushirikiana na Mstahiki meya tutahakikisha tunafanyakazi kwa pamoja ili kuwaletea maendeleo wananchi wetu ndani ya Manispaa yetu ya kinondoni.”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad