AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchekeshaji wa muda mrefu Sobogani Zabron maarufu Erick Kisauti amefariki Alfajiri ya leo akiwa nyumbani Kwa Ndugu zake Kibaha Mkoani Pwani.
@AyoTV_ imezungumza na Mchekeshaji mwenzie, Masai Nyota aliyewahi kufanya nae kazi mbalimbali za sanaa ambaye amesema ni taarifa za ukweli na amezipokea asubuhi ya leo na kwamba kwa sada anajiandaa kuelekea Kibaha mahali ulipo.
“Msiba upo Kibaha hapa ndio tunajiandaa kuchomoka kwenda mimi natokea nyumbani kwangu Chanika, nilipata taarifa za karibu kutoka kwa Camera Man Yoso tuliyekuwa nae Kwenye kambi ya vituko show, aliniambia anaumwa TB kuna kipindi akaanza kukaa sawa lakini baadae kansa ya ngozi ikaibuka, leo Alfajiri napigiwa simu naambiwa amefariki Alfajiri, nyumbani”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK